DUKA LA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI KABURABURA LAIBIWA
Duka la mwalimu mwalimu mmoja wa shule ya msingi kaburabura ambalo linamlikiwa na mwalimu Okeng'os Otaego Kinanda limeibiwa usiku wa kuamkia leo tarehe 01 /11/2017
Mmiliki wa hilo amekuta asubuhi Hali ya sitofahamu ambapo vitu vilivyokuwemo ikiwa ni pamoja na simu za wateja ambazo ziliachwa Kwa lengo la kuchajiwa zimeibiwa
Uongozi wa serikali Kwa kushirikiana na wananchi unaendelea Kufanya upelelezi juu ya tukio hilo
Aidha mwenyekiti wa kijiji cha kaburabura amelaani vikali vitendo hivi viovu ambavyo vimekuwa vikifanyika hapo kijijini
Pamoja na tukio hilo pia wezi hao wameiba pia duka la mmiliki mmoja anayefahamika Kwa jina la laurence

Comments
Post a Comment