TANZANIA YA VIWANDA.

Katika kuhakikisha kuwa Tanzania ya viwanda inafikiwa, wataalamu wa Elimu wameshauri kuwa ufundishaji wa masomo  ujikite katika vitendo zaidi Hali ambayo itachochea katika uibuaji wa maarifa na vipaji mbalimbali

Akiyasema Hayo mkuu wa Chuo cha ualimu Bunda alitaja kuwa moja ya sababu zinazochagiza Tanzania  isiweze kusonga mbele kimaendeleo na ili Hali Ina kila Aina za rasilimali  mhimu Kama vile madini ni aridh ni ukosefu wa wataalamu  mbalimbali katika masuala ya Tekinolojia

Pia Mwl YOHANA MULLAH  ameongeza kuwa ili kuhakikisha Tanzania  inavuka walimu wana nafasi Kubwa Sana katika kuhakikisha ujuzi unakuzwa kwa watoto ikiwa ni pamoja na Uzalendo  utakaowawezesha watoto  kuishi vema katika Jamii hiyo
 Watoto wakijifunza stadi mbalimbali za ufundi ikiwa ni pamoja na kufinyanga vitu


Comments

Popular posts from this blog

BADI SEC MEMBERS GROUP

MAKUBWA